Proffesa Shivji akitia saini yake katika kitabu cha rambirambi katika msiba huo.
HUKU mwili wa marehemu Dr. Mvungi ukitarajiwa kuingia leo, watu wengi hasa viongozi wanaendelea kumiminika nyumbani kwa marehemu na kutoa salamu za rambirambi kwa familia.-GPL