Mh. Zitto Kabwe atinga Mahakamani asubuhi hii ni Baada ya Jana Kuanza kwa Kuibwaga CHADEMA iliyowakilishwa na Wakili wake Tundu Lissu.Tofauti na Jana Mh.Zitto alifika mahakamani na Usafiri wake,HIi leo Zitto ametinga Mahakamani Kwa Miguu akitokea Kempisck Hotel akiongozana na Mwanasheria Wake Alberto Mhando,Hali ya Mahakama ni Tulivu Kabisa,Watu wamejitokeza kwa Uchache sana,Team Mbowe+Team Slaa na Team ZItto Kwa uchache wao wanabadilishana Mawazo,hakuna mkwaruzo wowote ule hapa Mahakamani.
Picha za ZItto akitinga Mahakamni Ingia hapa















