STAA wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’
hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kuwacharukia wezi wa nyama
misibani, hasa akina mama.
“Mnanisikitisha sana akina mama, hizi nyama mnazoiba leo, ipo siku nanyi mtaibiwa kwenye misiba yenu, kuweni na utu, nyama kitu gani watu tunalia nyie mnaiba nyama” aliwananga Mama Abdul.






